Tuesday, September 17, 2013

LIVERPOOL YABANWA YATOKA SARE NA SWANSEA CITY 2 - 2

StevenGerrard_5fee6.jpg
katika mechi hiyo Swansea City ndiyo walikuwa wakwanza kuanza kupata bao lililofungwa na Jonjo Shelvey dakika ya pili tu ya mchezo, lakini katiuka dakika ya 4 tu Daniel Sturridge alisawazisha nae Victor Moses akaipatia liverpool goli la pili kunako dakika ya 37. Bahati ikawa kwao Swansea City kwa kupata goli la pili kupitia kwa Michu katika dakika ya 63 na kuufanya mchezo kuisha kwa sare.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...