Wednesday, June 05, 2013

MR NICE APIGWA CHINI NA LABEL ALIYOKUA AKIFANYA NAYO KAZI KENYA, KISA NI MVIVU.

GrandPa Records Ya Kenya Imevunja Mkataba Wake Wa kazi na Msanii Mr Nice kutoka Tanzania Baada ya miezi michache ya kufanya nae kazi. Fahamu Mr Nice alipewa mkataba na GrandPa Records huku akijua kuwa ana mkataba mwingine Tanzania na Producer Lamar. GrandPa Wamesema Mr Nice Ni Msanii Mvivu na Asiye toa ushirikiano kwenye kazi kabisa ndio maana wameamua Kuvunja mkataba wake. Hii Ni Post ya FaceBook Ya GrandPa Records. Bado Taarifa Zina Kuja Kaa Na Mimi Utaiskia Interview Yao Hapa Soon


TO

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...