Wednesday, April 03, 2013

KAJALA AMLIPA FADHILA WEMA

Siku chache baada ya kuhukumiwa na kuachiwa huru baada ya kulipiwa faini ya sh. Millioni 13 mwanadada wa bongo movie Kajala Masanja kaamua kumlipa fadhira ya kuchora tatoo yenye jina la msanii mwenzake Wema Sepetu ambae ndie aliemlipia kiasi hicho cha fedha na kumfanya kuwa huru tena.










jambotz8.blogspot.com

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...