Wednesday, March 13, 2013

WASTARA AAGWA.............!!!!!


WASTARA Juma amabaye ni mke wa marehemu Juma Kilowoko “Sajuki” Jumpili jioni alisindikizwa na ndugu na jamaa katika uwanja wa ndege wa Kimataita wa Mwalimu Nyerere katika safari yake ya kuelekea Oman.
Wastara ambaye amekwenda Oman kwaajili ya mapumziko ya miezi miwili ikiwa ni pamoja na kumaliza eda ya mumewe alipelekea huzuni nyingi kwa watu waliomsindikiza kuanzia nyumbani hadi Airpot.
Zifuatazo ni picha mbali zilizopigwa nyumbani, barabarani na uwanja wa ndege zikimuonyesha Wastara katika pilika za safari hiyo.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...