Monday, March 18, 2013

TRAFIKI AFARIKI BAADA YA KUGONGWA NA GARI ENEO LA BAMAGA


Trafiki Elikiza baada ya kugongwa na gari eneo la Bamaga muda huu

Trafiki wa kike aliyejulikana kwa jina moja la Elikiza aliyekuwa akiongoza magari 
eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar, akifunikwa na wasamaria wema baada ya kugongwa na gari na inadhaniwa kuwa amekufa papo hapo.

SOURCE GLOBAL PUBLISHER

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...