Monday, March 18, 2013

AUNT EZEKIEL ATOKA NA RADIO PRESENTER

NYOTA wa filamu za Kibongo, Aunt Ezekiel amemaliza shughuli ya kuandaa kazi yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Radio Presenter’, imefahamika.

Akizungumza na Saluti5 jijini Dar es Salaam, Aunt alisema kuwa, kwenye filamu hiyo iliyoko katika mtindo wa ‘Serious Comedy’, ataonekana akicheza pamoja na nguli mwenzie, Haji Salum ‘Mboto’.
“Kiukweli, hii ni kazi yangu ambayo inaweza kuwa kali kuliko zote kwa mwaka huu, kutokana na nilivyoinakshisha kwa ubunifu wa staili ya aina ya kipekee ya uigizaji,” alisema Aunt.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...