Thursday, February 28, 2013

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein Akutana na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa Nchi za Tanzania,Uganda na Burundi, Bw Philippe Dongie Ikulu Zanzibar

  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa Nchi za Tanzania,Uganda na Burundi,Philippe Dongie,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili  ya mazungumzo na Rais,leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mkurugenzi wa Benki ya Dunia kwa Nchi za Tanzania,Uganda na Burundi,Philippe Dongie,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo.Picha na Ramadhan Othman,ikulu-Zanzibar

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...