Thursday, February 28, 2013

MASHINDANO YA MPIRA YA MPINGA CUP YAANZA RASMI LEO


Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Saalam Suleiman Kova akijiandaa  kudaka mpira ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup  inayowahusisha waendesha pikipiki maarufu kama Bodabado inayoanza rasmi  leo kwa muda wa wiki moja. Mpinga cup imedhaminiwa na  Airtel , Rotary  Club, Mr price na Shoprite  ikiwa na lengo la kutoa elimu ya usalama  barabarani kwa waendesha pikipiki na kupunguza ajali barabarani .  akishuhudia kushoto ni  Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani  SACP.  Mohamed Mpinga
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Seleman Kova akidaka mpira ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup  inayowahusisha waendesha pikipiki maarufu kama Bodabado inayoanza rasmi  leo kwa muda wa wiki moja. Mpinga cup imedhaminiwa na  Airtel , Rotary  Club, Mr price na Shoprite  ikiwa na lengo la kutoa elimu ya usalama  barabarani kwa waendesha pikipiki na kupunguza ajali barabarani .  akishuhudia kushoto ni  Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani  SACP.  Mohamed Mpinga. 

 Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Seleman Kova akikagua timu wakati wa uzinduzi wa  michuano ya Mpinga Cup inayowahusisha  waendesha pikipiki maarufu kama Bodabado inayoanza rasmi leo kwa muda wa wiki moja. Michuano hii imeanza rasmi kwa mechi kati ya Kawe Tiptop na  Manzese anayefata pichani ni Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani   SACP. Mohamed Mpinga. 
Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani  SACP. Mohamed Mpinga akikagua timu  kabla ya mechi kati ya  Kawe Tiptop na Manzese leo wakati wa uzinduzi wa michuano ya Mpinga Cup, anayefata pichani ni Meneja Uhusiano wa Airtel  Jackson Mmbando. 

kikosi cha timu ya Kawe Tiptop katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa  mashindano ya mpinga Cup yaliyofanyika leo katika viwanja vya polisi
oyesterbay , katikati pichani ni Kamanda wa Polisi Kanda Maalum, Seleman Kova
akifatiwa na Mkuu wa kikosi cha Usalama barabarani  SACP. Mohamed Mpinga.
kikosi cha timu ya Manzese  katika picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa
mashindano ya mpinga Cup yaliyofanyika leo katika viwanja vya polisi
oyesterbay , katikati pichani ni Kanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es
Saalam Suleiman Kova akifatiwa na Mkuu wa kikosi cha Usalama  barabarani  SACP. Mohamed Mpinga

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...