Tuesday, February 19, 2013

ORODHA YA MATUKIO NA IDADI YA WATU WALIOKAMATWA,DANGANYA,KUFANYIANA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE


S/NAINA YA UDANGANYIFUIDADI YA WATAHINIWA
(i)       Watahiniwa kubainika kuwa na skripti zenye miandiko tofauti au kuwa na miandiko tofauti katika skripti ya somo moja au zaidi ya moja.04
(ii)      Watahiniwa kukamatwa na wasimamizi ndani ya chumba cha mtihani wakiwa na ‘notes.’170
(iii)Watahiniwa kubainika kuwa na mfanano usio wa kawaida wa majibu.590
(iv)Watu kukamatwa wakiwafanyia watahiniwa wengine mtihani ‘impersonation”.04
(v)      Watahiniwa kukamatwa na simu ndani ya chumba cha mtihani.06
(vi)Watahiniwa kukamatwa na wasimamizi wakibadilisha karatasi za maswali au skripti kwa lengo la kufanya udanganyifu.15

JUMLA789

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...