Kamanda wa
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova amesema
ulinzi utaimarishwa kabla, wakati na baada ya mdahalo maalumu wa Katiba
ulioandaliwa na Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), kwenye Ukumbi wa
Mlimani City, Dar es Salaam mzungumzaji mkuu akiwa Mwenyekiti wa
iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba.
Hatua ya Kova imekuja baada ya kuibuka kwa vurugu
zilizosababisha kuvunjika mdahalo wa kwanza uliofanyika Novemba 2,
kwenye Hoteli ya Blue Pearl Ubungo, Dar es Salaam. Asante
kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza
kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya
neno Jambo Tz