Monday, July 29, 2013

MDC WALALAMIKIA UCHAGUZI ZIMBABWE....!!!

zimbabwe 4a402

 
CHAMA cha waziri mkuu nchini Zimbabwe kimesema kuwa mmoja wa ofisa wake mkuu wa chama hicho amekamatwa baada ya kuwasilisha ushahidi wa udanganyifu mbele ya tume ya uchaguzi nchini humo.
  Morgen Komichi aliifahamisha mamlaka baada ya kugundua makaratasi ya kupiga kura yalikuwa yamewekwa katika kituo cha kupiga kura mjini Harare ambapo maafisa wa jeshi walipiga kura za mapema katika uchaguzi huo. (HM)

Alisema masanduku yote ya kura yaliyokuwa na kura za chama cha Movement For Democratic Change (MDC) yalitupwa.

MDC kinachoongozwa na waziri Mkuu Morgan Tsvangirai, kimekuwa katika serikali ya umoja wa kitaifa na rais Robert Mugabe wa ZANU PF , Umoja ambao umekuwa na mashaka ndani yake.
Uchaguzi nchini Zimbabwe umefanyika mapema Jumatano iliyopita.
Chanzo: bbcswahili

MAZUNGUMZO BADO YANAENDELEA KATI YA VALENCIA NA TOTTENHAM HOTSPURS JUU YA ROBERTO SOLDADO

Roberto Soldado: Move to Spurs still on the cards
Roberto Soldado: Move to Spurs still on the cards

Talks are ongoing between Tottenham and Valencia over the transfer of striker Roberto Soldado, Sky sources understand.

Spurs manager Andre Villas-Boas has made Soldado one of his top targets over the summer but is yet to seal the deal. The La Liga side are understood to be holding out for £25.8m, a fee that would trigger a release clause in the 28-year-old's contract. Valencia coach Miroslav Djukic has already admitted he is resigned to losing Soldado though and Spurs remain favourites to land the coveted striker.

Soldado would become Tottenham's third summer signing if he does make the move to White Hart Lane. Brazilian midfielder Paulinho was the first to arrive after he signed from Corinthians for £17m, while Belgian winger Nacer Chadli arrived from FC Twente for around £7m on 21 July.
SOURCE:SKYSPORTS.COM

MANCHESTER UNITED BOSS DAVID MOYES KEEN TO ADD TO SQUAD

David Moyes: Pondering transfer targets
David Moyes: Pondering transfer targets

Manchester United manager David Moyes remains keen to bolster his squad ahead of the new season - despite being rebuffed in his attempts to sign Cesc Fabregas from Barcelona.

The Red Devils have already had two bids for the Spain midfielder rejected by the Catalans and Moyes is in the dark as to whether the Premier League champions will up their offer or train their targets elsewhere.

The Scot said: "I couldn't tell you if there will be another bid. Obviously we will take stock of it and consider what we are going to do next. "I never at any time said I knew we would get him. I just said we had made offers. "But what we have here is a really good squad of players already. You mustn't forget about the quality that is already here at Manchester United.
"Undoubtedly we are hoping to add to it. I am quite confident we will do, certainly before the window shuts."

United have already missed out on one long-time target from Barcelona over the summer - promising midfielder Thiago Alcantara opted to join European champions Bayern Munich in a 25m euro deal.Source:skysports.com

Sunday, July 28, 2013

MAGAZETI YA LEO JUMAPILI JULAI 28, 2013

DSC 0002 7d9bd
DSC 0003 f899b

LULU MICHAEL..... "SASA NIMEOKOKA.....UJINGA SITAKI TENA"


MUIGIZAJI machachari wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema baada ya kupata misukosuko ya kimaisha, sasa maisha yake ameyaelekeza katika sala kumuomba Mungu amsamehe makosa yake. 
Lulu alisema hayo juzi, katika kipindi cha Friday Night Live (FNL), kinachorushwa na kituo cha Televisheni cha EATV cha Jijini Dar es Salaam.

“Sasa hivi nasali sana, namuamini Mungu katika maisha yangu na mbali ya kwenda kanisani, pia nasali mwenyewe katika sala zangu.

“Ningependa maisha ya sasa ninayoishi ningeishi siku za nyuma, lakini yote ya Mungu labda maisha yale nisingeyaishi siku za nyuma, ningekuja kuyaishi baadaye,” alisema Lulu.

Katika hatua nyingine, alisema anavutiwa na kazi ya msanii wa bongo fleva, Bernard Paul ’Ben Pol’ ambaye tungo za nyimbo zake zinamkosha kuzisikiliza.

SKENDO KUHUSU KUHUSU NIVA NA WEMA SEPETU KUWA WAPENZI HIKI NDICHO ALICHOKISEMA NIVA.

Siku za hivi karibuni mwigizaji anayefanya vizuri kwasasa katika filamu nchini Niva Zubery amekuwa akiweka status zikimhusu mwigizaji mwenzake Wema Sepetu na baadhi ya mashabiki wa mastaa hao na wasomaji wa Swahiliworldplanet kutaka kuupata ukweli kama mastaa hao ni wapenzi kwa siri au lah. "nyie swp  hembu muulizeni Niva kama mtu wake kwasasa ni Wema coz status zake ni za kuchombeza kwa bibieee then kama wako close sana siku hizi, maskini kaka wa watu kaoza kwa wema tayariii !" alisema shabiki mmoja wa kike aliyekataa kutajwa jina lake.  Status za Niva zinaonekana kama kuchombeza kitu flani kwa Wema kwa mujibu wa wasomaji walioitonya SWP. Baadhi ya status hizo za Niva katika facebook yake ni hizi hapa "Baaabaa eti wewe upo na wemaa? (Apana mwanangu) huku akiwa ameweka picha yake mwenyewe na ya mtoto anayedaiwa kuwa wake", nyingine iko hivi "Niva hanipokerei cm jamaani mwambieni basi kama nampigiaa mwambieeni nawaomba tafazalii" huku akiwa amepost picha ya Wema Sepetu akiwa ameweka simu sikioni".
Status nyingine akiwa ameweka picha hiyo hapo chini wakiwa pamoja na Wema ilisomeka hivi "Etiiiiiii kama tunamuaa kuwa nanihiii na nanihiii itakuwa poa? basi nipe maoni yako ili nijue simmeshajua nilicho maanisha so nataka jibu ili nijue". Baadhi ya wachangiaji walimwambia Niva kuwa wakiwa wapenzi yeye na Wema watapendeza huku wengine wakimwambia kuwa Wema sio hadhi  yake, wengine walimwambia ajaribu bahati yake kama tayari ameshamzimikia mrembo huyo. Ili kuupata ukweli kutoka kwa Niva mwenyewe kama baadhi ya wasomaji walivyotutumia ujumbe mwanzoni ilibidi kumtafuta Niva jana na kumueleza kila kitu na yeye alikataa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Wema na alipoulizwa kama kweli sio wapenzi status zake zikionekana kwa mtu wa Wema si zinaweza kuzua tafrani? Niva alijibu kwa ufupi kwa kusema "hakuna kitu kama hicho kaka"
                                                             Niva na Wema

GADNA AFUNGUA MILANGO KWA WASANII


MTANGAZAJI aliyejizolea umaarufu kupitia kipindi chake cha Maskani kinachorushwa katika kituo cha redio Times, Gadna G. Habashi ameweka mikakati ya kutoa nafasi ya kucheza muziki wa kizazi kipya ndani ya kipindi hicho bila ya kuchagua.

Gadna ambaye anaamini kuwa kipindi cha redio kinapendezeshwa kwa kupiga muziki, hivyo kwa upande wake anaamini kipindi chake kinaboreshwa na muziki hususani wa bongo fleva.


Mtangazaji huyo aliweka wazi juu ya mikakati hiyo alipozungumza na mwandishi wa habari hizi, ambapo alisema njia hiyo ni moja ya mikakati yake ya kutoa fursa kwa wanamuziki wa hapa nchini, ambayo inaonekana wengine wanakosa kwenye redio nyingine.


"Unajua mimi nisipopiga muziki kipindi hakipendezi, hivyo nikipiga muziki huo kwanza ni njia ya kuutangaza muziki pamoja na msanii mwenyewe bila ya kubagua muziki huu ni wa nani?" alisema Gadna.


Alisema kwenye kipindi chake hachagui ni mwanamuziki gani apige nyimbo zake, bali anachokifanya ni kuangalia jamii inahitaji burudani ya aina gani.


Gadna ni mtangazaji anayeamini kuwa neno la kutoa fursa linaendana na vitendo, hivyo moja ya kitendo anachokiamini kinachowasaidia wasanii nyumbani ni kupiga nyimbo zao kwenye redio, ili kumuwezesha msanii afahamike na aweze kupata shoo.

Saturday, July 27, 2013

WATANZANIA WENGINE WAWILI WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA HONG KONG....!!!



Watanzania wawili wamekamatwa na madawa ya kulevya yenye thaman ya Dola za marekani million 3.34.

Mtu mmoja jana alisema sasa hivi wasafiri watokao Tanzania wanakaguliwa kwa makini zaidi ya ilivyokuwa hapo awali kutokana na matukio ya kukamatwa na dawa za kulevya! Hii ni sifa mbaya mno kwa raia na Taifa zima!

Iliyopachikwa hapo chini ni taarifa kutoka kwenye tovuti ya Serikali ya Hong Kong ya Julai 26, 2013




Hong Kong Customs yesterday (July 25) detected three drug trafficking cases, with seizures totally valued at $4.78 million, in the department's escalated anti-narcotics efforts to combat drugs.

BAADA YA NEY WA MITEGO, KALA JEREMIAH NAYE ATANGAZA NIA YAKE YA KUMPIGIA KAMPENI LOWASSA....!!!




Msanii wa Hip Hop na mshindi wa tuzo 3 za KTMA 2013, Kala Jeremiah amefunguka kwa kuandika waraka mrefu kuelezea jinsi anavyomkubali waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa kwamba anafaa kuiongoza nchini.

Usome waraka wake huo wote;
Mimi Kala Jeremiah nilikuwa msanii wa kwanza Tanzania kumsema mheshimiwa Edward Lowassa kupitia wimbo wangu uitwao wimbo wa taifa baada ya mheshimiwa kukumbwa na kashfa ya ufisadi wa Richmond.

Kwa kipindi kile kila mmoja wetu alihamaki sana na kuona kweli mzee wa watu ni fisadi.Kwenye wimbo huo kuna mistari nilisema, ‘mi siyo mwana siasa sisubiri tume ichunguze nistaafu ka Lowassa.

Kwa kuwa mimi ni mzuri sana kwenye kufanya uchunguzi binafsi nilitumia muda mwingi sana kulichunguza swala hili la kashfa hii na baadae niligundua kuwa ni swala la kisiasa, na yalikuwa ni mapito ambayo mwanadamu yoyote hupewa muda wa kupitia magumu ili kupimwa imani yake kwa Mungu.

Baada ya kugundua hayo mwaka jana nilitengeneza wimbo unaoitwa ‘Azimio la Arusha’ ambao upo kwenye album yangu ya Pasaka ambayo iko sokoni tokea mwaka jana.

RAY C ATANGAZA KURUDI KWENYE GAME KWA KISHINDO.... APANIA KUFANYA MAMBO MAKUBWA AGOSTI MWAKA HUU...!!!



Mabibi na mabwana mko tayari kwa ujio mwingine wa Ray- C. Malkia wa kiuno bila mfupa Rehema Chalamila aka Ray-C ametangaza ujio wake rasmi baada ya kuwa chimbo kwa kipindi kirefu toka apate matatizo miezi kadhaa iliyopita.

Ni baada ya siku chache kupita toka Ray-C atamke kuwa anapenda sauti ya ‘dogo lake’ Recho na kuwa atakuja kufanya naye kazi, leo amethibitisha kuwa mwezi Agosti ndio anarudi rasmi kutoka chimboni.
Kupitia akaunti ya Instagram Ray-C aliweka picha ya gazeti moja lililoandika ‘Ray-C kuonekana hadharani mwezi Agosti’, na baada ya followers wake kutaka ufafanuzi ndipo alifunguka kwa kusema “For Sure it’s bout time nw nimewapa muda sana watoto sasa mdada is coming back”.

MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI JULAI 27, 2013

DSC 0258 fb197
DSC 0259 4d7d9

AZAM TV YALIPA BILLIONI 6.5 ILI KUONYESHA MECHI ZA LIGI KUU YA TANZANIA BARA

 
Badhi ya viongozi wa TFF wakisaini mikataba na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Azam, Said Mohammed (wa kwanza kulia) leo kwenye Ofisi za TFF zilizopo Karume jijini Dar es Salaam.
Televisheni ya Azam inayojulikana kama Azam TV imeingia mkataba wa miaka mitatu wa kuonesha michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) ambapo mkataba huo umetajwa kuwa na thamani ya Tsh bilioni 6.5
 
Aidha Televisheni hiyo itakuwa na majukumu ya kuonesha mechi za moja kwa moja (LIVE) zisizopungua 60 za Ligi hiyo huku nyingine 180 zikiwa zimerekodiwa.
SOURCE: GLOBAL PUBLISHER

WAZIRI MKUU WA ZAMANI ATAKIWA KURUDISHA MAGARI YA SERIKALI MARA MOJA...!!!



Former Prime Minister Raila Odinga. Through the spokesman Muthui Kariuki, the government also accused the former premier of putting a siren on one of the cars and using it to manoeuvre through traffic in the city.

In Summary


  • The spokesman was, however, dismissed last evening by Cord deputy minority leader Jakoyo Midiwo, who said two former presidents who had the same status as the former PM, had not returned anything to the government.
The government Thursday accused former Prime Minister Raila Odinga of failing to return six government vehicles in his possession almost four months after leaving office.

Through the spokesman Muthui Kariuki, the government also accused the former premier of putting a siren on one of the cars and using it to manoeuvre through traffic in the city.

“He is forever mourning that the government is not giving him recognition, yet he has refused to return six government vehicles and has gone on and bought an illegal siren and is forever driving all over town using the wrong lanes,” the spokesman said yesterday.

STARS WAKIWA MAZOEZI KUPAMBANA NA CRANE LEO




 Wachezaji mbalimbali wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Satrs' ambao wanasakata kabumbu ndani ya nchi wakijifua katika Uwanja wa Taifa wa Mandela uliopo Nambole nchini Uganda. Stars ipo nchini Uganda na leo inataraji kushuka katika dimba la uwanja huo kumenyana vikalina The Crenes ya Uganda kuwania kufuzu fainali za mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa Ndani CHAN.

Moja ya mikakati ya Taifa Stars kwenye mechi ya leo (Julai 27 mwaka huu) dhidi ya Uganda kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Tatu za Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN) zitakazofanyika mwakani nchini Afrika Kusini ni kushambulia kwa muda mwingi wa mchezo.

POLISI AZUA BALAA MKUTANO WA CHADEMA NUSURA APIGWE

Na Bryceson Mathias, Kikombo
ASKARI Polisi wa Kata ya Kikombo  aliyejulikana kwa jina Moja la Sivanus (pichani), Jana alizua Tafrani kwenye Mkutano wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya Kumnyanganya Kipaza Sauti (Mike) Katibu wa Wilaya wa Dodoma Mjini, Jella Mambo.
Silvanus alizua hayo Julai 26, ambapo alinusurika Kipigo cha Wananchi  waliokuwa na hasira kwa kufanya tukio hilo, ambapo walidai hata kungekuwa na makosa ya Matamko au kitu kingine chaochote, hakustahili kuingia jukwani na kumnyang’anya Kipaza sauti Katibu huyo.
Askari Silvanus aliyeonekana kulewa na kuwaacha wenzie kwenye gari, alichukuwa hatua hiyo, Mambo alipomtambulisha aliyekuwa Mgombea wa Chadema Kata hiyo, Yona Kusaja, kwamba, uchaguzi uliopita Kusaja hakushindwa ila Chama Tawala (CCM) kilichakachua kura zake na kutoa vitisho kwa wapiga kura.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...