Tuesday, February 19, 2013

HALI ILIVYO KUWA MAHAKAMA YA HAKIMU MKAZI KISUTU JANA KATIKA KESI YA SHEKH PONDA

Kesi ya Uchochezi na Uharibifu wa mali inayo mkabili Sheikh Ponda Issa Ponda na wenzake leo imeendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam huku Polisi wakiwa katika doria kali ya kuimarisha ulinzi katika viunga jirani na Mahakama hiyo ambayo imejizolea umaarufu mkubwa jijini Dar es Salaam na Tanzania kwa ujumla kwa jinsi inavyo endesha kesi na watu wa aina mbalimbali kufikishwa katika mahakma hiyo kabla ya baade kesi zao kuhamia Mahakama Kuu kwa hatua zaidi za kisheria.

 Sheikh Ponda Issa Ponda akiwa katika basi la Magereza tayari kwa kurejeshwa Mahabusu.

 Msafara ukianza kutoka Mahakama ya Kisutu
 Wafuasi waliokuwa nje wakiimba wakati gari likitoka
 Wafuasi wa Sheikh Ponda Issa Pondawakilifuatilia gari lililombeba kiongozi wao wakati akitoka Mahakama ya Kisutu.
Mkazi wa jiji akipita kando ya kundi la Askari nje ya Mahakama ya Hakimu Mkzi Kisutu wakati Askari hao walipo imarisha Ulinzi nbje ya Mahakama hiyo.
 Ustaadh huyu alitishiwa na Mbwa akataka kutoka baruti
 Wengine zaidi wakitoka Mahakama ya Kisutu
Wakiwapokea na kuwapongeza wenzao wanao tuhumiwa pamoja na Ponda
 Kundi la Wafuasi likiwa limejikusanya karibu na Jengo la Sophia House huku Polisi wakiwa kando yao.
 Doria barabarani nayo ilikamilika
 Ulinzi ulikuwa ni wa Uhakika
 Mbwa maalum wa Polisi nao walikuwa kazini hapa wakikata kiu kutokana na jua kali.
 Hapa ni Fanya Fujo Uone  kilicho mfanya Kanga akose Manyoya shingoni
Kikosi maalum cha Kutuliza Ghasia Magerezani (KMKM) nacho kilikuwepo

MELI YA KIVITA YA KUPAMBANA NA UHARAMIA YA URUSI YATIA NANGA DAR ES SALAAM

Meli ya kivita  ya kupambana na uharamia aina ya  Anti Submarine iitwayo  Marshal Shaposhnikov’,  ilipokuwa ikiingia na kasha baadae kutia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, kwa ziara fupi yenye lengo la kuimarisha urafiki baina ya Jeshi la Wanamaji wa Tanzania na Urusi. Wakati nchi ya Somalia ikiendelea kuwa kitovu cha uharamia, jumuiya ya kimataifa ilikubaliana kudhamiria kupambana na vitendo hivyo viovu. Lakini hadi sasa, wakati nchi nyingine zikitumia mbinu mbalimbali katika mapambano hayo, ni nchi za Russia, India na China pekee zinazosindikiza meli zao za biashara na nyinginezo ili kuzilinda na uharamia. Meli hiyo imewasilisiku ya Jumamosi na inategemea kuondoka kesho, Jumatano.
Balozi wa  Urusi hapa nchini Mheshimiwa Alexander Rannikh  akiambatana na kiongozi wa wanajeshi waliofatana na meli hiyo Rear Admiral Vdovenko
Kwa pamoja, Balozi Rannikh na wanajeshi wa Kirusi waliimba wimbo wao wataifa wakiwa katika meli.
Balozi Rannikh akiwapongeza wanajeshi wake kwa kufika Dar es Salaam, Tanzania na kuwakaribisha nchini pia.
Baada ya salamu hizo, Balozi Rannikh nae alikaribishwa keki na mmvinyo iliyoandaliwa na wanajeshi katika meli.
Balozi wa  Urusi hapa nchini Mheshimiwa Alexander Rannikh akipokea salamu kutoka kwa  kiongozi mkuu Rear Admiral Vladimir Vdovenko wakati alipotembelea meli hiyo bandarini.
Wanajeshi wa Kirusi wakionesha umahili wao wa ukakamavu

HIZI NDIZO SHULE BORA ISHIRINI (20) KWENYE MATOKEO KIDATO CHA NNE

Ubora wa ufaulu wa shule umepangwa kwa kutumia kigezo cha “Grade Point Average” (GPA) kuanzia A = 1 hadi F = 5.  Shule zenye watahiniwa 40 na zaidi ziko 3,391. Shule ya kwanza hadi ya ishirini zimeainishwa kwenye Jedwali lifuatalo :

NAFASIJINA LA SHULEIDADI YA WATAHINIWAMKOA
1ST. FRANCIS GIRLS90MBEYA
2MARIAN BOYS S.S75PWANI
3FEZA BOYS S.S69DAR ES SALAAM
4MARIAN GIRLS S.S88PWANI
5ROSMINI  S S78TANGA
6CANOSSA S.S66DAR ES SALAAM
7JUDE MOSHONO S S51ARUSHA
8ST. MARY’S MAZINDE JUU83TANGA
9ANWARITE GIRLS S S49KILIMANJARO
10KIFUNGILO GIRLS S S86TANGA
11FEZA GIRLS49DAR ES SALAAM
12KANDOTO SAYANSI GIRLS SS124KILIMANJARO
13DON BOSCO SEMINARY SS43IRINGA
14ST.JOSEPH MILLENIUM133DAR ES SALAAM
15ST.JOSEPH’S ITERAMBOGO SS64KIGOMA
16ST.JAMES SEMINARY SS44KILIMANJARO
17MZUMBE SS104MOROGORO
18KIBAHA SS108PWANI
19NYEGEZI SEMINARY SS68MWANZA
20TENGERU BOYS SS76ARUSHA


7.0        SHULE KUMI AMBAZO HAZIKUFANYA VIZURI ZAIDI KATIKA KUNDI LA SHULE ZENYE WATAHINIWA 40 AU ZAIDI
NAFASIJINA LA SHULEIDADI YA WATAHINIWAMKOA
1MIBUYUNI S.S40 LINDI
2NDAME  S.S41UNGUJA
3MAMNDIMKONGO S.S63PWANI
4CHITEKETE S.S57MTWARA
5MAENDELEO S.S103DAR ES SALAAM
6KWAMNDOLWA S.S89TANGA
7UNGULU S.S62MOROGORO
8KIKALE S.S60PWANI
9NKUMBA S.S152TANGA
10TONGONI S.S56TANGA

ORODHA YA MATUKIO NA IDADI YA WATU WALIOKAMATWA,DANGANYA,KUFANYIANA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE


S/NAINA YA UDANGANYIFUIDADI YA WATAHINIWA
(i)       Watahiniwa kubainika kuwa na skripti zenye miandiko tofauti au kuwa na miandiko tofauti katika skripti ya somo moja au zaidi ya moja.04
(ii)      Watahiniwa kukamatwa na wasimamizi ndani ya chumba cha mtihani wakiwa na ‘notes.’170
(iii)Watahiniwa kubainika kuwa na mfanano usio wa kawaida wa majibu.590
(iv)Watu kukamatwa wakiwafanyia watahiniwa wengine mtihani ‘impersonation”.04
(v)      Watahiniwa kukamatwa na simu ndani ya chumba cha mtihani.06
(vi)Watahiniwa kukamatwa na wasimamizi wakibadilisha karatasi za maswali au skripti kwa lengo la kufanya udanganyifu.15

JUMLA789

MNYIKA AWAJIBU NAPE NA RIDHIWANI KUHUSU ELIMU YAKE

Nilikuwa katikati ya kazi jimboni nikaambiwa kwamba kuna mwito humu wa Nape na Ridhwan kutaka nieleze elimu yangu. WanaCCM walianza suala hili kwa ari, nguvu na kasi mpya niliposema kwamba nchi imefika hapa ilipo kwa sababu ya udhaifu wa Rais Kikwete, uzembe wa Bunge na upuuzi wa CCM.Nikapuuza, naona sasa limeibuka tena kwa ari, nguvu na kasi zaidi baada ya yaliyojiri bungeni kuhusu hoja binafsi niliyowasilisha bungeni kuhusu maji na mkutano wa hadhara wa tarehe 10 Februari 2013 na masuala ambayo niliipa Serikali wiki mbili kuyatolea majibu ama sivyo nitaongoza maandamano ya wananchi kwenda Wizara ya Maji kutaka uwajibikaji na hatua za haraka.Kwa mara nyingine tena zinafanyika jitihada za kuhamisha wananchi kwenye mjadala kwa kumshambulia mtoa hoja badala ya hoja, sasa ili turejee kwenye mijadala ya msingi ni muhimu niweke kumbukumbu sawa kuhusu masuala kadhaa kama yalivyoombwa.

ALICHOKISEMA ZITTO KABWE MATOKEO YA KIDATO CHA NNE


Naenda kulala sasa. Haya matokeo ya kidato cha nne haya bila hatua ya uwajibikaji kufanyika.Kawambwa has to go! Hakuna namna kabisa.

Hawa watoto waliopata zero na four haraka sana wapate mafunzo ya ufundi. VETA kila Wilaya ni ya lazima SASA.Halafu Wizara ya Elimu iwe chini ya Ofisi ya Rais. Mwakani wakifeli kama hivi na yeye atoke. tufanye petition 
Kucheza na Elimu tutaula wa chuya kwa uvivun wa kuchagua. Miradi yote tufanyayo, bila Elimu bora ni UPUUZI tu. Elimu BORA na BURE.Mwaka jana tumelalamika, tukasahau. SASA tufanye kitu. Waziri wa Elimu atoke. Wizara iwe chini ya Rais. Yakiwa haya mwakani, na yeye atoke

KOMBE LA FA MAN UTD WAPAA WAINGIA ROBO FAINALI

Manchester United 2 Reading 1

Near post: Javier Hernandez nodded the ball past Adam Federici to 
put the Reds 2-0 up
Near post: Javier Hernandez nodded the ball past Adam Federici to put the Reds 2-0 up
Breached: Nani finally opened the scoring for Manchester United at 
Old Trafford
Breached: Nani finally opened the scoring for Manchester United at Old Trafford
Wheeling away: Nani came off the bench for Phil Jones in the first 
half
Wheeling away: Nani came off the bench for Phil Jones in the first half
Happy: Brian McDermott praised his team after Jobi McAnuff's goal 
gave them hope with 10 minutes left
Happy: Brian McDermott praised his team after Jobi McAnuff's goal gave them hope with 10 minutes left
Bounced: Anderson and Hernandez celebrate in style after United go 
two goals up
Bounced: Anderson and Hernandez celebrate in style after United go two goals up
Fist pump: Sir Alex Ferguson gestures to the home crowd as he makes
 his way out after half-time
Fist pump: Sir Alex Ferguson gestures to the home crowd as he makes his way out after half-time
Chase: Danny Guthrie attempts to keep pace with Manchester United's
 Anderson
Chase: Danny Guthrie attempts to keep pace with Manchester United's Anderson
Blow: Phil Jones was taken off in the first half through injury
Blow: Phil Jones was taken off in the first half through injury
Blow: Phil Jones was taken off in the first half through injury
Blow: Phil Jones was taken off in the first half through injury
Words 
of wisdom: Ferguson (left) talks to fourth official Phil Dowd as the 
pair leave at half-time
Words of wisdom: Ferguson (left) talks to fourth official Phil Dowd as the pair leave at half-time

Monday, February 18, 2013

TASWIRA YA MKUTANO WA CHADEMA JIJINI ARUSHA LEO


Viongozi wakiwa tayari washawasili
Wananchi wakiwa mkutanoni
Mwenyekiti taifa (CHADEMA) akisalimia wananchi waliojitokeza kwenye mkutano
mwenyekiti Mkoa wa Tanga,Said Salehe Mbweto akizungumza
Kamanda akizungumza kwa hisia kukemea propaganda za udini za CCM
Kamanda wa mkoa wa Manyara akihutubia
Kamanda Basil Lema akihutubia
M/kiti Mbowe jukwaani tayari,tayari anazungumziwa sera ya CHADEMA,mfumo mpya wa utawala (majimbo)
Mwenyekiti Taifa akisisitiza jambo.

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...