
Watu
wawili wamefariki na wengine takriban watu 50 kukwama kwenye vifusi
baada ya paa ya jumba la maduka lililokuwa linajengwa kuporomoka nchini
Afrika Kusini.
Inaarifiwa watu 29 wameweza kuokolewa.
Taarifa zinazohusianaAfrika Kusini
Madaktari kutoka kampuni ya kibinafsi ya Netcare 911 walifika kutoa huduma ya kwanza katika eneo hilo la Tongaat Kaskazini mwa mji wa Durban.
Madaktari kutoka kampuni ya kibinafsi ya Netcare 911 walifika kutoa huduma ya kwanza katika eneo hilo la Tongaat Kaskazini mwa mji wa Durban.
"Shughuli hii itachukua mda mrefu. Itatuchukua muda kuwafikia wale waliokwama," alisema msemaji wa kampuni hiyo.
Hata hivyo ni mapema mno kujua sababu ya kuporomoka kwa jengo hilo.
Inaarifiwa watu wengine 26 wamepelekwa hospitalini wakiwa na majereha mabaya.
CHANZO BBC SWAHILI














Mwandishi wa habari wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro akisoma
somo kwenye biblia wakati wa ibada maalumu ya shukrani kwenye Kanisa la
(KKKT ) Usharika wa Kibamba nje kidogo ya Jiji la Dare Salaam jana.
Picha na Sanjito Msafiri. 

