
Moja
ya rapper memba wa kikundi cha hip hop TZ, Joh Makini, yuko hospitali
huku akiomba tumuombee na kusema yuko katika hali ya kawaida na si mbaya
sana.





![]() |
| Augustine Mrema (kushoto) na Edward Lowassa. |

Sina budi kumshukuru
sana mwenyenzi Mungu kwa kunitendea mema na zaidi ya yote kunipa uhai na
afya hadi sasa. Wanasema “shukuruni katika yote” na mimi nalazimika
kushukuru kwa yale yote niliyofunuliwa na kuwa sehemu ya ushuhuda wangu
katika maisha niliyobakiza hapa duniani.



bulombora.pdf (806.9 KB )
kanembwa.pdf (659.1 KB)
maramba.pdf (334.6 KB)
mgambo.pdf (791.9 KB)
mlale.pdf (712.2 KB)
msange.pdf (1.20 MB)
ruvu.pdf (882.0 KB)
rwamkoma.pdf (556.2 KB)