MSHAMBULIAJI
Cristiano Ronaldo ameziweka kiporo Manchester United na Paris
Saint-Germain baada ya kusema hataongeza Mkataba Real Madrid baada ya
2015.Real imegoma kumuuza Mreno huyo msimu huu wakati United na PSG zinabakiwa mstari wa mbele atakapotiwa sokoni.Alex
Ferguson alimuuza Ronaldo kwenda Madrid mwaka 2009, lakini nyota huyo
mwenye umri wa miaka 28 ameeleza mara kadhaa hivi karibuni kwamba hana
furaha sana katika Jiji hilo na Hispania.
Rais
wa Madrid, Florentino Perez alisema anatarajia kuona Ronaldo
akitungikia daluga zake katika klabu hiyo, lakini inaonekana atatafuta
klabu nyingine miaka miwili ijayo.
Ikiwa
Ronaldo atakuwa mkweli kwa kauli zake, ataondoka bure, kitu ambacho
Madrid hawatapenda baada ya kumsajili kwa Pauni Milioni 80.















Mmoja wa watoto wa watano akiwa amejifungua mbele ya uangalizi wa jopo la madaktari sik
Jopo la madaktari wakimchunguza mwanamke Alexandra Kinova miaka 23.
Alexandra Kinova kipindi cha ujauzito.








