Mbunge wa chambani (CUF) Visiwani zanzibar Salim
Hemed Hamisi ameanguka ghafla akiwa katika kikao cha kamati ya mambo ya
nje na ushirikiano wa kimataifa katika ofisi ndogo za bunge jijini Dar
es salaam wakati kamati hiyo ikiendelea na kikao chake
Mbunge
huyo ambaye siku za hivi karibuni ametoka nje ya nchi kwa matibabu ya
afya yake amefikwa na dhahama hiyo na kubebwa na baadhi ya wabunge kwa
kushirikiana na baadhi ya wandishi wa habari kutolewa nje ya chumba cha
mkutano na kupelekwa hospital ya taifa ya Mhimbili kwa uchunguzi na
matibabu zaidi.
Mwenyekiti
wa kamati ya bunge ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa Edward
Lowasa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo.






















Mwakilishi
wa Wabunge waliomaliza mafunzo maalumu ya muda mfupi ya Jeshi la
Kujenga Taifa(JKT)katika kambi ya RUVU Ester Bulaya akikabidhi risala
kwa niaba ya wenzake kwa Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
leo mchana.
Wabunge
waliomaliza mafunzo ya muda mfupi ya Jeshi la kujenga Taifa wakipita
kwa ukakamavu mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mris
Wabunge
waliomaliza mafunzo ya muda mfupi ya Jeshi la kujenga Taifa wakipita
kwa ukakamavu mbele ya Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho kikwete
wakati wa gwaride maalumu la kumaliza mafunzo hayo huko kambi ya RUVU
leo.
Wabunge
walihudhuria mafunzo ya muda mfupi Ruvu JKT wakionesha walijifunza kwa 