Sunday, April 01, 2018

HII NDIO SABABU YA KKKT IRINGA KUSITISHA KUSOMA WARAKA WA PASAKA

Askofu wa kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Blaston Gavile akitoka ibadani baada ya kumalizika ibada ya kwanza leo usharika wa kanisa kuu.

Askofu wa kanisa la kiinjili la kilutheri Tanzania (KKKT)  dayosisi ya Iringa Blaston Gavile leo amesitisha kusoma waraka wa maaskofu wa kanisa hilo kama ilivyopangwa kwa madai ya kuvuja kwa waraka huo.

Akitoa salamu za pasaka mara baada ya ibada ya kwanza katika usharika wa kanisa kuu leo, askofu Gavile alisema ilipangwa kusomwa waraka ila umesitishwa kusomwa baada ya kuvuja hivyo anayehitaji kusoma waraka huo wa kitume afike ofisini auchukue ila hautasomwa tena kanisani.

Na Matukio Daima.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...