Saturday, December 02, 2017

MBUNGE NASSARI AVAMIWA NA MAJAMBAZI USIKU WA LEO

Katika ukurasa twitter wa Mh. Joshua Nassari ameandika kuwa amevamiwa na watu waliokuwa na silaha za moto, na mara baada ya yeye pamoja na mkewe kuwagundua waliamua kukimbilia kituo cha polisi yeye ili kuokoa maisha yao.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...