Monday, September 28, 2015

CELINE DION ARUDI KWENYE MUZIKI

celine dion
BAADA ya Celine Dion kukaa kwa muda mrefu bila ya kufanya muziki kutokana na kumuuguza mume wake, Rene Angelil, sasa ameanza kazi ya muziki upya.

Celine alipanda jukwaani juzi huku mume wake akiwa pembeni na kabla ya kuimba aliwaambia mashabiki: ‘Nadhani kila mmoja anajua nini ninataka kukufanyia leo siku yangu rasmi.’

Hata hivyo, msanii huyo alijikuta akidondosha chozi kutokana na mapokezi aliyoyapata kutoka kwa mashabiki wake.

Baada ya kumaliza kuimba msanii huyo aliwashukuru mashabiki hao na kuwaahidi kuwapa burudani mbalimbali siku zijazo. Asante kwa kutembelea blog yetu, kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa kulike page yetu ya facebook bofya neno Jambo Tz.

“Nashukuru kwa uwepo wenu hapa, lakini kikubwa kilichonifanya niwe hapa ni watoto wangu watatu na mume wangu ndio waliniambia nifanye hivi, nawapenda sana watoto wangu pamoja na mume wangu na nipo tayari afie mikononi mwangu,” alisema Celine

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...