Tuesday, June 09, 2015

OSCAR PISTORIOUS KUACHILIWA, AUGUST

Oscar Pistorious, akilia kwa uchungu
Wakuu wa magereza Nchini Afrika Kuisini wamesema kuwa Oscar Pistorius, ataachiliwa kutoka gerezani mwezi Agosti mwaka huu miezi kumi baadaye, ili atumikie kifungo cha nje, cha hukumu aliyopewa ya miaka mitano.
Bingwa huyo wa nishani ya dhahabu katika mbio za Olimpiki, alikutwa na hatia ya kumpiga risasi bila ya kukusudia na kumuuwa mpenziwe, Reeva Steen-kamp,
na kumuuwa mwana mitindo huyo.
Mahakama kuu Nchini Afrika Kusini mwezi Novemba mwaka huu, itasikiliza rufaa ya waendesha mashtaka ya kujaribu kupunguza makali ya hukumu iliyotolewa dhidi ya mwanariadha huyo mlemavu. Nunua gari kwa bei rahisi bofya hapa. Pia tangaza biashara yako hapa kwa bei nafuu zaidi, na usisahau ku-Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Kwa Kubofya/ Click Neno Jambo Tz.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...