Sunday, June 07, 2015

MSAFARA WA MAKONGORO NYERERE WAPATA AJALI

 
Gari ilikuwa imebeba wasaidizi wa mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Makongoro Nyerere likiwa limeanguka wilayani Kasulu, Kigoma jana wakati likiwa kwenye msafara kwa ajili ya kusaka wadhamini. Picha na Blog ya Michuzi 

Akitoa taarifa za ajali hiyo, kamanda wa polisi wa Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui alisema ajali hiyo ilihusisha gari aina ya Toyota Land Cruiser lililokuwa linaendeshwa na Julius Kambarage Nyerere ambalo lilipinduka saa 4:30 lilipofika eneo la Mwilamvya na kujeruhi watu watano.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...