Saturday, November 08, 2014

TAZAMA PICHA ZA BILIONEA ALHAJ ALIKO DANGOTE ALIPOTEMBELEA KIWANDA CHAKE MTWARA, NI KILE CHA KUZALISHA SARUJI

Gari iliyombeba mfanyabiashara maarufu barani Afrika, Mwenyekiti wa kundi la makampuni ya Dangote, Alhaj Aliko Dangote, likipita mbele ya majengo yatakayokuwea kiwanda cha kuzalisha sarujit nje kidogo ya mji wa Mtwara, Nov 6, 2014. Ujenzi wa kiwanda hicho unatarajiwa kukamilika Juni 2015

mfuko wa kwanza wa sementi utaanza kufyatuliwa Juni 8, 2015.
Alhaj Dangote akiteta jambo na kaimu mkuu wa mkoa wa Mtwara, Ponsiano Nyami, baada ya kumaliza ziara yake ya kutembelea kiwanda hicho
Alhaj Dangote, (Kulia), akipokelewa na mwakilishi mkazi wa kampuni ya Dangote hapa nchini, Esther Baruti kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara
Mainjinia wakimpatia maelezo ya maendeleoya ujenzi wa kiwanda hicho, mmiliki wake, Alhaj Aliko Dangote, (akiwa ndani ya gari) Asante kwa kutembelea blog hii na endelea kuwa nasi siku zote, kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...