Thursday, August 14, 2014

AFANDE SELE AFIWA NA MAMA TUNDA....!!!



Msanii kutoka Morogoro Selemani Mshindi maarufu kwa jina la Afande Sele kupitia ukurasa wa facebook ametoa taarifa ya kufiwa na mzazi mwenzake mama Tunda. Afande Sele ameandika;-

“Ndugu zangu!! Nimefiwa na mzazi mwenzangu (Asha) /mama wa wanangu (mama Tunda) ..ni pigo kubwa kwangu na wanangu. SISI NI WAJA WA MWENYEZI MUNGU NA HAKIKA KWAKE TUTAREJEA; MUNGU AMPUMZISHE PEMA." Jambo Tz tunatoa pole kwa Afande Sele na famila kwa ujumla kwa kuondokewa na kipenzi chao.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-Like page yetu ya facebook kwa ku-click/ bofya neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...