Tuesday, January 07, 2014

HIVI NDIVYO WAFUASI WA CHADEMA NA WA ZITTO WALIVYOONYESHANA UBABE MAHAKAMANI


Kamanda wa Polisi mkoa wa Ilala Dar es Salaam, SACP Marietha Minangi, wakati akiwasili Viwanja vya Mahakama Kuu.


Mmoja wa kijana aliyekamatwa na askari baada ya kuleta fujo eneo la mahakama.




Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz





Baadhi ya mabango waliyokuwa nayo wananchi eneo la Mahakama Kuu.

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz


Wafuasi wa Zitto Kabwe.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz
 
Kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwahutubia wananchi waliofika mahakamani hapo baada ya hukumu ya Zitto kuahirishwa mpaka kesho saa nane mchana..



Mmoja wa wafuasi wa Zitto akiwa na bendera.



Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa au kutotoa zuio la muda kwa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kutojadili uanachama wa Zitto Kabwe mpaka kesho saa nane mchana!
(PICHA NA HARUNI SANCHAWA / GPL)

Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...