Friday, December 06, 2013

HII NDIO SENTENSI YA KISWAHILI ALIYOIANDIKA NICK MINAJ INSTAGRAM KUHUSU KIFO CHA MZEE MANDELA


Kifo cha Rais wa zamani wa Afrika Kusini Mzee Nelson Mandela kimewasikitisha watu wengi wakiwemo watu wa maarufu duniani kama rapper Nicki Minaj mwenye wafuasi zaidi ya milioni tatu na nusu kwenye instagram amevunja rekodi ya kuwa staa pekee wa dunia ambae ameandika yake ya moyoni na kuongezea maneno ya lugha ya Kiswahili.
1
2

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...