Monday, May 20, 2013

MBUNGE MSIGWA AFIKISHWA MAHAKAMANI IRINGA MCHANA

 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari ya  polisi baada ya kufikishwa mahakamani mchana  huu
 Mbunge  Msigwa akishuka katika gari hilo la polisi tayari kwa kuelekea  chumba cha mahakama
 Mbunge Msigwa akiwa na gazeti mkononi baada ya  kufikishwa mahakamani  leo
 Watuhumiwa  wengine wa vurugu  za machinga  na polisi  wakishuka katika karandinga la polisi



 Wakili  wa Msigwa  kulia  akiteta  jambo nje ya mahakama
 Kada wa Chadema Frank Mwaisumbe akiingia na viongozi  wengine wa chadema mahakamani hapo huku  wafuasi  wao  wakizuiwa nje ya mahakama
 Wafuasi  wa Chadema  wakiwa  wamezuiliwa nje ya viwanja  vya mahakama kuu kanda  ya Iringa  wakati mbunge  alipofikishwa katika mahakamani   mchana  huu
Ulinzi mkali kweli kweli .. NA FRANCIS GODWIN

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...