Thursday, April 18, 2013

Barua zilizotumwa kwa rais Obama zagundulika kuwa na sumu aina ya ricin.

Barua zilizokuwa zimetumwa kwa Rais Barack Obama na Seneta wa Mississippi Senator Roger Wicker  zmebainika kuwa na  sumu hatari aina ya ricin.
Idara kuu ya upelelezi ya Marekani FBI imetoa taarifa  hiyo na barua zilizotumwa kwa viongozi hao wawili zinahusiana.
Barua hizo zote zilitumwa kutokea Memphis, Tennessee na mtu mmoja mwenye umri wa miaka 45 amekamatwa Mississippi kuhusiana na barua hizo.
Pamoja na barua hizo, polisi mjini Washington wanavichunguza vifurushi vitatu wanavyovitilia mashaka vilivyogunduliwa katika ofisi za majengo ya seneti.
Kugunduliwa kwa vifurushi hivyo kwenye eneo  kubwa la majengo ya ser

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...