Saturday, March 16, 2013

HEBU ANGALIA WASANII TUNAOWAITA KIOO CHA JAMII


Kuna msemo unasema wasanii kioo cha jamii je ni kweli?hili ni kava linalobeba kazi za wasanii kwa hali kama hii bado tunadhubutu kusema wasanii ni kioo cha jamii? Mimi naona waitwe waharibifu wa jamii kwa halii hii. Hapa watoto wanajifunza nini kwa kweli?

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...