Wednesday, March 20, 2013

2015: URAIS WA DAMU.

GENGE HATARI LAIBUKA, CCM, CHADEMA VYAHUSISHWA.
Dk Steven Ulimboka akiwa chumba cha wagonjwa mahututi MOI.
Mhariri Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006) Limited, Absalom Kibanda, akiwa ndani ya Ndege ya Flightlink.
Daudi Mwangosi aliyekuwa mwandishi wa chanel ten akisulubiwa na askari polisi na kumfyatulia bomu la machozi mwilini na kupoteza maisha mkoani Iringa. Mkurugenzi Mtendaji wa Hali halisi publishers Ltd, Saed Kubenea akiwa katika wodi ya Hospitali ya Apollo, New Delhinchi INDIA mara baada ya kufanyiwa Upasuaji macho, Kubenea amekuwa akitibiwa katika Hospitali hiyo tokea mwaka 2008 alipomwagiwa tindikali katika ofisi yake jijini Dar es Salaam na hii ni operesheni yake ya tano.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...