Monday, February 25, 2013

TUME YA PINDA KUCHUNGUZA MATOKEO KIDATO CHA NNE 2012 YAPINGWA.

Dk. SLAA ADAI HOJA YA MBATIA ILIKUWA NA MAJIBU YOTE. 
 WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA. 
DK SLAA.
James Mbatia, Mbunge mteule katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

SIKU moja baada ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuunda tume maalumu ya kuchunguza matokeo ya kidato cha nne yaliyotangazwa hivi karibuni, wanasiasa na wasomi wamempinga wakidai ni kupoteza muda na fedha kwa kuwa hoja binafsi ya Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia ilikuwa na majibu.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...