Sunday, February 17, 2013

SIMBA IMESHADUNGWA MSHALE 1-0 NA LIBOLO FC YA ANGOLA,

S5Mchezaji wa timu ya Simba ya Tanzania Shomari Kapombe kulia akichuana vikali na Maieco Antonio  mchezaji wa timu ya Libolo FC kutoka nchini Angola wakati wa mchezo wa  Klabu Bingwa  Afrika ( CAF) kati ya timu hizo uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, Timu ya Libolo FC ya Angola inaongoza goli 1-0 dhidi ya Simba ya Tanzania ni kipindi cha pili na mpira bado unaendelea.
S1Waamuzi wa mchezo huo wakiwaongoza wachezaji wa timu ya Simba na Libolo ya Angola wakati timu hizo zikiingia uwanjani tayari kwa kumenyana katika mchezo huo.
S2Wachezaji wa Simba ya Tanzania na Libolo FC ya Angola wakisalimiana kabla ya kuanza kwa mchezo huo kwenye uwanja wa Taifa.
S3Mashabiki kwa mbali uwanjani hapo wakishuhudia nguo kuchanika wakati timu hizo zikimenyana uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
S4Hizi siyo salakasi il ni harakati za kuwania mpira wakati wa mchezao wa Simba ya Tanzania na Libolo FC ya ambapo Libolo inaongoza goli 1-0  dhidi ya Simba ya Tanzania

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...