Rais
Mohamed Morsi aliepinduliwa madarakani nchini Misri July 2013 amesema
alitekwa nyara na wanajeshi ambao ndio walimtoa kwenye madaraka ambapo
kikundi cha wanasheria waliojitolea ambao hawako kwenye upande wa Morsi,
wametangaza hii baada ya kukutana na Morsi gerezani.







Stori: Jelard Lucas











