Sasa
ni wazi kwamba aliyekuwa kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Mwanza
ameuawa na genge ndani ya Polisi akiwemo Kamanda Polisi anayejulikana
kwa jina la Muna, gazeti la Jamhuri limeripoti katika ukurasa wa Mbele
kabisa (Nimesoma kwenye website yao Deo Balile akilalamika gazeti
kununuliwa kwa jumla na watu wasiojulikana)
Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na mmoja wa jambazi sugu ajulikanaye kwa jina la
Edward Malele kujisalimisha ktk vyombo vya ulinzi na kutoa siri
zote. Kuvuja kwa siri hiyo kumetokana na mmoja wa jambazi sugu ajulikanaye kwa jina la
Jambazi huyu aliombwa wa genge ndani ya polisi kushiriki katika mpango wa kumwua kamanda Barlow. Akakataa kwa kuwa aliwahi kumfahamu kwa karibu kamanda Barlow.
Baada ya kukataa kutekeleza agizo hilo baada ya siku chache alishtakiwa kwa kosa la ujambazi na kuswekwa Rumande.


















