Thursday, April 26, 2018

NENO LA MIZENGO PINDA KUHUSU WATU WAOFANYA VURUGU NCHINI

Waziri Mkuu mstaafu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda.
Hii ilikua Juni 20, 2013, akizungumza katika Kipindi cha Maswali ya Papo kwa Hapo kwa Waziri Mkuu, bungeni Dodoma wakati akijibu swali la mbunge wa Kilwa Kaskazini Murtaza Mangungu .

Mh. Pinda alisema “Ukifanya fujo umeambiwa usifanye hiki ukaamua wewe kukaidi utapigwa tu maana hakuna namna nyingine maana wote lazima tukubaliane nchi hii tunaiendesha kwa misingi ya kisheria sasa kama wewe umekaidi hutaki unaona kwamba ni imara zaidi, wewe ndio jeuri zaidi watakupiga tu na mimi nasema muwapige tu, kwa sababu hakuna namna nyingine maana tumechoka sasa”.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...