Tuesday, May 23, 2017

HUYU NDIYE MWANAFUNZI ALIETUMIA UZOEFU WA KUOGELEA KUWAOKOA WENZIE WASIFE MAJI, GEITA.

Mwanafunzi Tisekwa Gamungu wa shule ya msingi Butwa wilayani Geita, aliyetumia uzoefu wake wa kuogelea kuokoa wenzake tisa baada ya mtumbwi waliokuwa wanasafiria kupinduka jana jioni. Wanafuzni watatu wamepoteza maisha katika ajali hiyo iliyohusisha mtumbwi uliokuwa umewabeba wanafunzi 12.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...