Friday, May 16, 2014

BIRTHDAY YA RAY, JOHARI AMPA SALAMU TATA..... ISOME HAPA....!!!

http://jambotz8.blogspot.com/
Leo ni birthday ya mwigizaji Vicenti Kigosi ray, Johari ampa salamu tata, isome hapa
Leo mwigizaji maarufu nchini Vicent kigosi - Ray anasherehehea siku yake ya kuzaliwa huku akipata salamu mbalimbali za pongezi toka kwa mastaa wenzie. Moja ya watu wa kwanza kwanza kumpa salamu hiyo ni swahiba na rafiki yake mkubwa, JB akifuatiwa Johari ambaye salamu yake inadaiwa na wachunguzi wa mambo kuwa ni kwa namna flani inamponda mpenzi wa sasa wa Ray, Chuchu Hans, kutokana na maneno yaliyotumika ya salamu hiyo ambayo Johari anadaiwa kuwahi kuyatumia kumponda Chuchu siku za nyuma.

JB ameandika
''Happy birth day mdogo wangu Ray. Mungu akupe haja ya moyo wako.''

Na huku Johari akiandika 
''Happy birthday director wa RJ na swaiba wangu Mungu akuongoze akupe maisha marefu na akuepushe na ‘’mabarazuri’’
Jambo Tz inakupongeza sana Ray kwa kutimiza miaka kadhaa siku ya leo na  Mungu akupe maisha marefu zaidi. Tafadhari Like Ukurasa Wetu Wa Facebook Kwa Kubofya/ Click Neno Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...