Wednesday, March 12, 2014

HII NDIO VIDEO YA AJALI YA NDEGE KUMGONGA MTU, MAAJABU...!!!

Screen Shot 2014-03-11 at 4.58.21 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 4.57.11 PM
Hii imetokea Florida Marekani ambapo mtu mmoja alikua anaruka akiwa na Parachuti lakini akakutana na ndege hii ndogo ambayo baada ya kumgonga walianguka chini wote huku ndege ikiangukia pua.
Pamoja na ajali hii, hakuna mtu aliepoteza maisha ila wote walipata majeraha madogomadogo baada ya kuanguka kwenye umbali wa futi 75 na wakapelekwa hospitali ambapo mwenye Parachuti John Frost (49) aliruhusiwa kuondoka.
Hili tukio limenaswa jinsi lilivyotokea kwa sababu kulikua na mpiga picha aliekua na camera karibu na alikua anashuhudia kila kitu.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz
Screen Shot 2014-03-11 at 4.58.21 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 4.57.53 PM
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo TzScreen Shot 2014-03-11 at 4.58.37 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 4.58.49 PM
Screen Shot 2014-03-11 at 4.59.03 PM 
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz
Screen Shot 2014-03-11 at 4.59.16 PM

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...