Wednesday, March 19, 2014

CCM YAZINDUA KAMPENI KWA KISHINDO CHALINZE

 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimnadi mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM uliofanyika leo kwenye Uwanja wa  Miembesaba, Chalinze mkoa wa Pwani. Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz 
Mgombvea ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze, kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete akiomba kura katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni za CCM za uchaguzi huo leo kwenye Uwanja wa Miembe saba, Chalienze.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz 

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...