Sunday, February 16, 2014

KESI YA MOHAMMED MOSRI KUSIKILIZWA LEO

Mohammed Morsi akiwa mahakamani
Aliyekuwa rais wa Misri Mohammed Morsi atafika katika mahakama moja mjini Cairo ili kusikiza mashtaka ya upelelezi na njama ya kutaka kutenda ugaidi yanayomkabili.
Bwana Morsi aling'atuliwa mamlakani na jeshi mnamo mwezi Julai na sasa anakabiliwa na mashtaka mengine matatu.
katika kesi hiyo yeye na wanachama wengine 35 wa vunguvu la Muslim Brotherhood wanatuhumiwa kwa kushirikiana na makundi ya kigeni kama vile Hamas,Walinzi wa mapinduzi nchini Iran na Hezbollah kupanga mashambulizi nchini Misri.
Iwapo atapatikana na hatia bwana Morsi anakabiliwa na hukumu ya kifo.
Kuwa wa kwanza kupata habari zetu kwa ku-like page ya facebook ya Jambo Tz

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...