Sunday, September 15, 2013

IRENE UWOYA: "ERICK SHIGONGO AMEAMUA KUNICHAFUA MAGAZETINI KWAKUWA NINA KESI NAE MAHAKAMANI..."

 
Irene Uwoya amejibu mapigo ya kudaiwa kuiba simu aina ya iphone 5 toleo jipya la  mwaka  huu ambapo habari hiyo iliripotiwa jana  katika gazeti la Risasi na kutawala mitandao mingi  ya  kijamii. 

Katika  utetezi  wake  alioutoa  kupitia  ukurasa  wake  instagram, Irene  Uwoya amesema kuwa chanzo cha kuandikwa hivyo ni kuvunjwa nguvu katika harakati zake za kesi aliyomfungulia Shigongo

HII  NDO  KAULI  YAKE  :

 "Mi ni mti wenye matunda milele siogopi kupigwa mawe…
"Shigongo kaamua kunichafua coz nina kesi nae mahakamani…anadhani nitaiacha never yeye aponde anavyoweza ila mwisho wa siku sheria itafuata mkondo wake….

"Mi na yake mengi nayajua ila ngoja ninyamaze nisimwagiwe tindikali"

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...