Tuesday, September 24, 2013

BREAKING NEWZZZZZZZZZ....!!! MKUU WA WILAYA YA URAMBO BI. ANNA MAGOHA AFARIKI DUNIA

Aliyekuwa Mkuu wa wilaya ya Urambo Marehemu Bi.Anna Magoha enzi za uhai wake akiwajibika kazini 
****
Serikali ya rais Jakaya Kikwete imepata pigo kubwa baada ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Urambo Bi. Anna Magoha kufariki dunia  akiwa Chang'ombe jijini Dar kufuatia maradhi yaliyokuwa yakimsibu.
Mkuu huyo wa wilaya Bi. Anna Magoha amefariki jioni ya leo akiwa njiani kukimbiza Hospitali ya taifa ya Muhimbili.

Marehemu Anna Magoha ambaye alishawahi kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa aliteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya na Rais Jakaya Kikwete mnamo mwaka 2006.

Marehemu alikuwa ni mkazi wa wilaya ya Kilolo mkoa wa Iringa.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...