Sunday, August 18, 2013

YANGA YAILAMBA KIMOJA AZAM, TAIFA JANA... SHUHUDIA MATUKIO YALIYOJILI KATIKA PICHA





Wachezaji wa Yanga wakiiibusu ngao ya jamii waliyotwaa baada ya kuifunga Azam bao 1-0 katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Taifa jana.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mecky Sadiq Mecky akimkabidhi Nahodha wa Yanga ngao ya jamii baada ya kuifunga Azam FC bao 1-0 katika mchezo uliochezwa Taifa leo







Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Canavaro’ akipokea ngao ya Jamii kutoka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Mecky Sadick wakati wa mchezo uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda 1-0.  (Picha na Francis Dande)  


Mashabiki wa Yanga.


Mbuyu Twite akisalimia na kocha wa Azam baada ya kumalizika kwa mchezo.


Kipa wa Azam, Aishi Manula.

Kipa wa Yanga, Deogratius Munishi.


Mwamuzi Msaidizi akikabili uso kwa uso na Canavaro.


Didier Kavumbagu akichuana na beki wa Azam, Davidi Mwantika.



Hamisi Mcha wa Azam akichuana na beki wa Yanga, David Luhende. 




Wachezaji wa Yanga, Deogratius Munishi (shoto) na Didier Kavumbagu wakishangilia ushindi wa timu yao.


Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...