Friday, August 23, 2013

JK AAPISHA MAKATIBU WAKUU NA NAIBU MAKATIBU WAKUU IKULU DAR ES SALAAM LEO

 Rais Jakaya Kikwete na Katibu Mkuu Kiongozi Mhe Ombeni Sefue wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa ofisi ya Sekretariate ya Baraza la Mawaziri ambako watumishi wake wawili wameteuliwa kuwa manaibu Makatibu wakuu, ambao ni Injinia Angelina Madete (kulia kwa Rais) na Mhe. Consolata Mgimba (kushoto kwa Rais) mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu Ikulu jijini Dar es salaam leo.
 Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu na manaibu Katibu wakuu wapya mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu Ikulu jijini Dar es salaam leo.
 Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu wapya mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu hao na Manaibu Katibu wakuu Ikulu jijini Dar es salaam leo.

Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilal na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue katika picha ya pamoja na Manaibu Katibu wakuu mara baada ya kuapishwa Makatibu wakuu na Manaibu Katibu wakuu hao Ikulu jijini Dar es salaam leo.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Ijumaa tarehe 23 Agosti, 2013, katika viwanja vya Ikulu, amewaapisha Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu.



Ifuatayo ni Orodha ya Makatibu Wakuu na Naibu Makatibu Wakuu walioapishwa leo.



1.    MAKATIBU WAKUU

Ndugu Sophia Elias Kaduma

Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika


Ndugu Jumanne Abdallah Sagini
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI)


Ndugu Uledi Abbas Mussa
Katibu Mkuu, Wizara ya Viwanda na Biashara


Dr.  Patrick James Makungu
Katibu Mkuu, Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia



Ndugu Alphayo Japani Kidata
Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi


Ndugu Charles Amos Pallangyo
Katibu Mkuu, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii


Ndugu Sihaba Said Nkinga

Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo


Ndugu Anna Tayari Maembe
Katibu Mkuu, Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto


2.    NAIBU MAKATIBU WAKUU
Ndugu Dorothy Stanley Mwanyika

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha (Fedha za Nje na Madeni)


Ndugu Consolata Philipo Mgimba
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi


Eng.  Angelina Elias Augustine Madete


Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Makamu wa Rais


Dr. Deodatus Michael Mtasiwa
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, (TAMISEMI) - AFYA


Ndugu Monica Lyander Mwamunyange


Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uchukuzi


Ndugu Regina Lucian Kikuli
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu


Ndugu Kagyabukama Edwin Kiliba
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, (TAMISEMI)


Ndugu Zuberi Mhina Samataba
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, (TAMISEMI) - ELIMU


Dr. Yamungu Kayandabila
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika


Prof. Adolf Faustine Mkenda
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha (SERA)


Ndugu Mwitango Rose Shelukindo
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa


Dr. Selassie David Mayunga
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi


Prof. Elisante Ole Gabriel Laizer
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo


Ndugu Amantius Casmiri Msole
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki


Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu


Dar es Salaam.

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...