Wednesday, July 03, 2013

STOKE CITY YAKAMILISHA DILI YA KUMSAJILI MARC MUNIESA KUTOKA BARCELONA

 
Marc Muniesa, Beki wa timu ya Barcelona aliyesaini mkataba wa kuichezea Stoke City Msimu ujao

Aliyekuwa beki wa Timu ya Barcelona ya Uhispania Marc Muniesa kijana wa Miaka 29 amekamilisha Usajili wake wa kuicheza timu yake mpya ya Stoke City ya Uingereza.

Marc Muniesa alikuwa ni moja wa memba wa kikosi cha Hispania chini ya Miaka 21 kilichoshinda Katika ligi ya Ubingwa wa ulaya chini ya Miaka 21.

Marc Muniesa, alisema " anafurahi kujiunga na timu ya Stoke City na atajitahidi kadri ya uwezo wake katika kuhakikisha timu yake hiyo mpya ya Stoke anailetea Ushindi"

Aliongezea kwa kusema Hakuwa na uamuzi mgumu katika kuamua kujiunga na timu hiyo ya Uingereza ya Stoke City na nimekuja uingereza jana kwaajili ya kukutana na watu wa klabu hii ya Stoke City na kuangalia Uwanja wa Mazoezi na kuona unavutia

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...