Friday, May 17, 2013

KIONGOZI WA CHADEMA ATUHUMIWA KUMLAZIMISHA KUTOA MIMBA

"Fridah Kerubo mwanafunzi wa chuo cha MDU Rohtaki India anayesoma masters ya Sheria yupo tayari kutoa ushuhuda jinsi Mtanzania Ben Saanane alivyompa Mimba na kisha baadae kumshawishi kuitoa la sivyo angemuonyesha kila rangi na kisha baadae kwenda uinereza.
Pia yupo Sally Mukhanji ambaye yupo Tanzania sasa hivi amemaliza kutupa ushuhuda jinsi Ben maarufu kama HR yaani Hit and Runalivyokua akifanya biashara ya Dola Fake,na Euro akiwa New Delh India. Picha hiyo ya wadada wa pili ambaye alipiga na Ben ambaye mkono ndiyo unaonekana ameitoa pamoja na nyingine nitazileta soon. Huyu anajua mengi yaliyofichwa . Sasa kama chadema imejaza watu kama akina Lema aliyebaka, Mnyika aliyekutwa na mwanafunzi quality plaza na mbowe aliyempa mimba mbunge wa viti maalumu kama alivyoripoti kamaradi Mtela Mwampamba unategemea nini. Hawa Wakenya wanalalamika na nitashangaa kama kuna mwanaume wa kitanzania atafurahi kuchafuliwa image yake kama ben alivyoharibu sifa ya wanaume wa kitanzania.Turekebishe tabia za wanasiasa wetu. Matusi ya vijana wa Chadema hayanisumbui maana kama mnapanga kuteka watu hakuna msiloshindwa
KWA HISANI YA Eddah Kishimba

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...