Thursday, February 21, 2013

Pinda akutana na msimaizi mwendeshaji wa USAID.


Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akisalimiana na Msimamizi Mwendeshaji wa Shirika la  la Maendeleo la Marekani USAID, Dr. Rajiv Shah kabla ya mazungumzo yao, Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 20, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na Katibu Mkuu katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Peniel Lymo wakizungumza na Msimamizi Mwendeshaji wa Shirika  La Maendeleo la Marekani (USAID), DR. Rajiv Shah (kushoto ) na Balozi wa Marekani nchini,  Alfonso Lenhardt Ofisini kwa Waziri Mkuu jijini Dar es salaam Februari 20 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...