Wednesday, February 20, 2013

NDALICHAKO AISHUTUMU CLOUDS FM WAMECHANGIA MATOKEO MABAYA YA KIDATO CHA NNE


Joyce Ndalichako adai
Clouds FM imechangia
yaliyotokea Kidato cha
Nne!
- Adai walimpa 'Promo'
kijana aliendika matusi na
"Bongo Flavor" katika
mtihani wake wa Kidato
cha Nne Mwaka jana kwa
kumfanyia interview katika
moja ya vipindi vyake.
- Adai kuwa hatua hiyo ya
Clouds FM imechangia
uandikaji wa matusi kwa
watahaniwa wa mwaka
huu

No comments:

Pro

PropellerAds

LinkWithin

Soma na Hizi Pia Plugin for WordPress, Blogger...