
17:00 Cardiff City na Newcastle United
17:00 Fulham na Stoke City
17:00 Hull City na Aston Villa
17:00 Liverpool na Crystal Palace
19:30 Sunderland na Manchester United





Abiria
hamsini na moja waliokuwa wakisafiri na basi la Taqwa kutoka Bujumbura
kuelekea Dar-es-Salaam wametekwa katika kijiji cha Milade wilayani
Mkalama na kuporwa mali , simu na fedha zaidi ya shilingi milioni mia
mbili hamsini.
DAWA za kienyeji za Kimasai zinadaiwa kusababisha kifo kwa
mkazi wa Moshi Vijijini, Restituta Alen baada ya kuzinunua kutoka kwa
mfanyabiashara na kunywa.Mfanyabiashara wa dawa hizo, Lanyani Lukumay anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mwanamke huyo.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kilimanjaro, Robert Boaz
alisema tukio hilo lilitokea Septemba 30 saa 9.30 alasiri eneo la
Marangu wilayani Moshi Vijijini.







Mkurugenzi wa Idara ya Habari Malelezo,
Assah Mwamebene, alitoa onyo hilo ofisini kwake jana na kuongeza kuwa
ameziandikia barua kampuni hizo, zijieleze ni kwanini zinafanya hivyo.



