MSANII
wa filamu za Kibongo, Wastara Juma hivi karibuni alikataa kuolewa na
kuwa mke wa pili baada ya kupigiwa simu na mwanamke mmoja jijini Dar
akimtaka awe mke mwenzake.
Wastara
ambaye hivi sasa yuko Uarabuni kwa ajili ya mapumziko baada ya kufiwa
na mumewe, Sadick Juma Kilowoko ‘Sajuki’, Januari mwaka huu, alikataa
ofa hiyo na kusema kwamba kwa sasa hafikirii kabisa kuolewa.
Kwa
mujibu wa chanzo chetu makini, mwanamke huyo aliamua kufanya hivyo
baada ya kushauriana na mumewe kuhusu Wastara kuingia katika familia
yao.
“Mwenyewe
alisema alishauriana na mumewe na haoni tatizo Wastara kuwa mke
mwenzake kwa sababu imani ya dini yao inaruhusu,” kilieleza chanzo
hicho.






Naked
model on a train in Germany Wake-up call ... but some passengers on the
train still managed to stay asleep TNI Press But remarkably, some of
them gave barely a sideways glance as she walked through the carriage in
the buff. The model’s naked journey was part of a project put together
by Swiss artist Milo Moire. Entitled The Script System, the stunt was
intended as a way of "shaking up the ordinary". Swiss artist dreamed up
scheme to have naked model take a train ride in Germany Stunt ...


Mbunge wa kuteuliwa, James Mbatia. 






