INAPOFIKA
saa
tisa alasiri, siku kama ya leo, maarufu kama Ijumaa Kuu, katika nyumba
za
ibada za Kikristo, kimya hutanda, mishumaa huzimwa na kuashiria kuwa ni
siku ya
majonzi.

Ijumaa
Kuu ni siku ambayo Wakristo duniani kote hukumbuka mateso aliyoyapata
Yesu
baada ya kusulubishwa msalabani yapata zaidi ya miaka elfu mbili
iliyopita.
Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo zimeipa thamani siku hii kwa
kuitangaza
kuwa ya mapunziko.
Siku
hii huadhimishwa kwa ibada inayoambatana na kusoma mistari ya Biblia
inayoelezea undani wa matukio yaliyosababisha kusulubiwa kwa Yesu
Kristo.

















Awali
ulifanyika uzinduzi wa filamu hiyo yenye mastaa kibao akiwemo yeye
mwenyewe, TID, Shetta, Mwinyi Machozi, Chaz Baba, Barnaba na wengine
kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro ambako mastaa wote wa orodha A
nchini walihudhuria huku Shaa na Shilole wakiwa miongoni mwa wasanii
waliotumbuiza.






